17 Aprili 2025 - 19:21
News ID: 1550034
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Uhusiano wa Kidiplomasia baina ya Tehran na Moscow unazidi kuimarika zaidi na ni uhusiano usioweza kuvunjika, ni uhusiano wa muda mrefu kihistoria. Katika video hii fupi, Rais wa Urusi Vladmir Putin amempokea leo hii Waziri wa Mambo ya wa Iran, Mh. Sayyid Abbas Araqchi katika Ikulu ya Urusi, Jijini Moscow.
Your Comment